Danny greeny
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 3,856
- 1,648
- Thread starter
-
- #101
Umedesa kwa Saleh Jembe blog.
Kakosea.
Azam INA 60 sasa hivi na sio 70. Na mikia wana 58, sio 68.
...hiyo hela ulikula wewe na nani?!, rudisheni!laana ya mafisango itatumaliza simba, hela yarambirambi turudisheni
Walikura akina RAGE na Kaburu...hiyo hela ulikula wewe na nani?!, rudisheni!
Vyovyote vile utavyofikiri. Nina mimacho mibovu au sina macho kabisa poa tu. Lengo ilikuwa ni kuonesha ulivyokosea kuandika points za Azam na Simba kama ambavyo Saleh jembe alikuwa amekosea. Kama hujagundua mpaka sasa, baki hivyo hivyo. Maishani mwangu nimeishakutana sana na watu wasiotaka kukosolewa. Sometimes we just let them stay ignorant.Nimedesa vipi na picha imewekwa kabisa hapo na ina watermark ya Saleh Jembe au una mimacho mibovu
Vyovyote vile utavyofikiri. Nina mimacho mibovu au sina macho kabisa poa tu. Lengo ilikuwa ni kuonesha ulivyokosea kuandika points za Azam na Simba kama ambavyo Saleh jembe alikuwa amekosea. Kama hujagundua mpaka sasa, baki hivyo hivyo. Maishani mwangu nimeishakutana sana na watu wasiotaka kukosolewa. Sometimes we just let them stay ignorant.
Mjinga siku zote atakuwa mjinga.
Mjinga siku zote atakuwa mjinga.
Kweli kabisa.