Dakika ya ngapi wapendwa?
Yanga wanafungwa kisaikolojia pia,safi sana Ivo mapunda,wakti wao wanaendelea kuwaza taulo nyie tieni magoli.........Tauloooo
yanga wanatoka mapovu....hahaha #team SIMBA SC
simba wanakaba kweli kweli, sioni dalili za goli kurudi
Waombe radhiYeboyebo wanajamba tu hapa uwanjani, wanazidi kuzimia nahisi wengine wameshakunya huku.
Tuko pamoja hadi dakika 90 mkuu.Hakuna cha kuogopa.
simba wametulia kwelikweli leo