We muhudumu uliyevaa yebo yebo za njano, jeans ya kijani na tisheti ya njano niongezee bapa 1 tafadhari.. Fanya Haraka.
Matokeo yakoje wadau
Matokeo yakoje wadau
pigaaa ndala hawa
refaa anzisha tena
ndo hivo ni matokeo ya mchezo, ila timu si mbaya sema tu ujanja wa okwi, mi nashabikia yanga lakini nasemaga ukweli kuwa okwi kwenye ligi yetu anaongoza kwa ubora, aliniboa tu alipokuwa yanga hakucheza kama anavyokuwaga na simba
Ale ban kwa kosa lipi hajaamua tu KULOG IN.
Ngoja nimwite Makoye Matale
Leo sabato mkuu
Hahahahahahaha lol! ila angalia asikutilie sumu kwenye kinywaji, si unamuona alivyonuna lol!
Khe khe khe khe kheeeeeeeee sasa ulitaka tuwafunge goli 100!? Soka si basketball ebo!
Mazuri sana
Ale ban kwa kosa lipi hajaamua tu KULOG IN.