Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Kwenye matanga kuliwazana ni muhimu ila nina ombi moja endelea kuanzisha thread za mechi za Simba kwani ukianzisha tu lazima mtu apate mkongoto. Prisons ulianzisha thread wewe 5 bila leo Yebo Yebo kala kimoja. Continue with the good work.
 
Bado Naongoza Ligi... Tena nimempita Simba sports club points Nne (4) Nikiwa na Mchezo mmoja mkononi.

Baada ya kichapo, naona maneno yamebadirika. Yanga km mwembe ulio uwani kwako embe likidondoka ata ucku wa manane una relax unalala asubuh utalikuta tuu.
 
tuache ushabiki, simba wanajua kucheza soka la kuvutia!! Poleni yanga siku zote timu inayocheza vizuri ndo inayoshinda.

Kama mnacheza vizuri mbona mlikuwa mnalalamika kwamba Aveva na wenzake ndio wanahujumu timu.

Kama mnacheza vizuri mbona SARE SARE zilikuwa nyingi.!!!
 
Natamani tungekuwa na mechi nyingine na Yebo Yebo kwani najua ni pointi 3 za uhakika.

Mnakaririshwa vibaya, next time lazima tuwabutue vibaya hadi mharibikiwe.
 
Bora huyo Jerry Muro. Kuna mtu anaitwa Mzee Ibrahimu Akilimali kama umesikiliza E FM hadi huruma
Ingawa mimi ni Simba ila huwa NAMUOGOPA SANA SANA HUYU MZEE AKILIMALI WA YANGA,huwa akiongea tuu,lazima simba tufungwe,sina hakika kama hii mechi aliongea chochote..
 
Usijali....

Acha tuongoze ligi na mwisho wa siku tuchukue kombe letu.

Wao hapo wameshamaliza ligi.... Si unajua kwamba wanashiriki ligi ili kumfunga Yanga tu.!!!!

Uwezo wnu mdogo ndio mana Tunawapiga wateja nyiee....hahahah yaani mmesha surrender kwamba tunashiriki Kuwafunga hahhaha mnatiaa huruma
 
Usijali....

Acha tuongoze ligi na mwisho wa siku tuchukue kombe letu.

Wao hapo wameshamaliza ligi.... Si unajua kwamba wanashiriki ligi ili kumfunga Yanga tu.!!!!

Acha kuzuga, hicho kimoja kimekuuma! Na sio kwamba Simba haijawahi chukua ubingwa, imewahi tena kwa kumfunga Yanga nje na ndani ikiwemo ile ya tano!
 
Ingawa mimi ni Simba ila huwa NAMUOGOPA SANA SANA HUYU MZEE AKILIMALI WA YANGA,huwa akiongea tuu,lazima simba tufungwe,sina hakika kama hii mechi aliongea chochote..

Aliongea sana na kusema wanaenda kumchapa Simba na Shabiki yeyote wa Yanga anaejiamini aende taifa. Alikuwa akihojiwa na Kitenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…