Ebu nitajie hiyo mara tatu ni lini na lini? Unakumbuka tano zilikuwa mwaka gani?
Vipigo vibaya sana, mbona net inapotea hivyo! Kaangalie tena kumbukumbu! Tulikupeni dozi 2012.
Amavubi endelea kushusha upako huo, huku tunateremshia na bia za bariiidi. Nyama huku tumekula zote jikoni tumemaliza Wadau tunataka tuhame kiwanja.
Hata nikikutajia bado hautakubali na kusadiki, kwakuwa hata wewe ukumbuki mara ya mwisho simba sports club kutwaa ndoo.!
Umeuliza Mrwanda na Twite wana umri gani, au bao moja limekuvuruga kama Jerry Murro amekutwa Mabwepande hajui anaelekea wapi.
Hata nikikutajia bado hautakubali na kusadiki, kwakuwa hata wewe ukumbuki mara ya mwisho simba sports club kutwaa ndoo.!
Hata nikikutajia bado hautakubali na kusadiki, kwakuwa hata wewe ukumbuki mara ya mwisho simba sports club kutwaa ndoo.!
Msimamo wa Ligi baada ya mechi za leo, Jumapili. Kwa hisani ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania
Nyie mbumbumbu kweli mmesema Yanga timu ya wazee, nikawauliza Mapunda gage inasomaje. Mmenibadilikia tena ama kweli wageni wa ushindi utawajua tu.
Umetajiwa, nimekutajia pale juu mara ya mwisho Simba kuchukua ilikuwa 2012 tena kwa kumkojolea Yanga bao 5 kwa bila. Hiyo mara 3 yenu ni mwaka gani?
Au umejumlisha na ndondo za mtaani kwenu ndiyo umepata mara 3?
Nyie mbumbumbu kweli mmesema Yanga timu ya wazee, nikawauliza Mapunda gage inasomaje. Mmenibadilikia tena ama kweli wageni wa ushindi utawajua tu.
shikamoo broo
nafurahia uwepo wako hapa
simba hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee miaka 100
Msimamo wa Ligi baada ya mechi za leo, Jumapili. Kwa hisani ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania
Kwa taarifa yako, Yanga wamechukua ubingwa 2009, 2011, 2013 ndo walipogomea hapo, 2012 ilikuwa Simba, 2014 ni Azam, 2015 .........! Sasa hiyo mara tatu toka 2012 sijui viroba vimekulemea kwa dozi au!
Ebu nitajie hiyo mara tatu ni lini na lini? Unakumbuka tano zilikuwa mwaka gani?
Vipigo vibaya sana, mbona net inapotea hivyo! Kaangalie tena kumbukumbu! Tulikupeni dozi 2012.
Ni ule mwaka tuliowapiga tano kwa nunge mechi ya mwisho wa ligi. Je wakumbuka ni mwaka gani? Na baada ya hapo kwani nyie mmechukua ligi mara ngapi?