sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Inapendeza kuona mnashiriki Ligi ili kumfunga Yanga...!
Haya Bhana, ubingwa wenu mshachukua... Tuachieni sisi tikanyanyue ndoo.!
Una faida gani ule ubingwa, ambao unashiriki mwaka mzima na ukshnda unapewa milioni 80?
NB: Milioni 80 ndo gharama tulizotumia unguja kumuandaa mnyama ili aje amtafune mwali ndala.