grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,816
Unaongoza wakati unatobolewa kwa mabao ya nguvu ya ki-Okwi Okwi.Nilidhani mtajihisi kama mko nafasi ya Kwanza...!
Basi Acha wanaume tuongoze ligi.!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaongoza wakati unatobolewa kwa mabao ya nguvu ya ki-Okwi Okwi.Nilidhani mtajihisi kama mko nafasi ya Kwanza...!
Basi Acha wanaume tuongoze ligi.!
Ukimuona Okwi mtaarifu namuamkia tena "Shikamoo Okwi".
Mwambie mabao yake atatuulia dada zetu Yanga.
Hahahahahahahahaahahaaaaaaaa.....teheteheteheteheteheteeeee....nani kamuona Jen Muro wetu jamani? Wasijekuwa wale wauaji wa Albino wamempitia baada ya kukosa Albino.JANE MURO hadi sasa hivi hajarudi kwakwe na TRAFIK wanamtafuta kweli.
Kabisa mkuu, analifanya jukwaa letu lipooze kama hakuna Yeboyebo Tanzania bhana.Zimefika mkuu, inabd huyu jamaa tumrudishe kwao Ug maana anatugombanisha sana na watani.
Wako nchi za mbele wanakula maisha mkuu.umeonaaaa wapi sammata,thomas ulimweengu
Wako nchi za mbele wanakula maisha mkuu.
Mkuu mwache afurahie kidogo maana kuongoza ligi huo ndio ubingwa pekee aliowahi kuupata toka mwaka 2013.tehe tehe tehe, umeamia kwenye msimamo wa ligi na sio ushindi, ingekua ivo si mgeomba mechi ifutwe kwakua mnaongoza ligi
Mkuu umesahau yeboyebo college chuo cha uvuvi wa kambale kiko pale Kaunda.hiyo ndo simbaaaaa
yanga chuo fitna na majungu
Ni kweli kuongoza ligi ndiyo ubingwa pekee uliobakia kwenu toka mwaka 2013 nao hauna muda mrefu wenye nafasi yao wanachukua.Nilidhani mtajihisi kama mko nafasi ya Kwanza...!
Basi Acha wanaume tuongoze ligi.!
Kama yanga wameshindwa kumfunga simba akiwa katika hali hii ????
Tutegemee ni uwakilishi wao kimataifa
aisee inabidi jf kuwe na tawi la simba siku simba ikicheza liwepo bango la "simba jamii forum" kama mabango mengine,,,, cc sembo, Masuke, Katavi, Mlendamboga
Yanga baiskeli ya miti tu, juzi mlijisifu eti hamshiki n atimu yoyote kwa pengo la point 4 leo hii Azam anawapumulia kisogoni, wakati Baba lao Simba lililojaa mifwedha ya Mtani Jembe, Mapinduzio kapu linakuja kuchukua kombe lake. Makombe yote TZ ni mali ya Simba mwaka 2014/2015 kuanzia Mtani Jembe, Mapinduzi Cup mpaka Ligi Kuu na kuendelea.
Mkuu umesahau yeboyebo college chuo cha uvuvi wa kambale kiko pale Kaunda.
umeonaaaa wapi sammata,thomas ulimweengu