Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

huyu refa naye vipi, hiyo kadi nyekundu kwa niyonzima siyo kabisa, mtu yuko kwenye motion kabisa!!!
 
Niyonzima nje, anadai hajasikia nini? Hakuona hakuna reaction kutoka kwa wachezaji wenzake???
Shame, yanga hawawezi kuji-control!
 
huyu refa naye vipi, hiyo kadi nyekundu kwa niyonzima siyo kabisa, mtu yuko kwenye motion kabisa!!!

Ilipigwa filimbi naye akapiga mpira, akaoneshwa kadi ya pili ya njano.
 
Niyonzima nje, anadai hajasikia nini? Hakuona hakuna reaction kutoka kwa wachezaji wenzake???
Shame, yanga hawawezi kuji-control!

Huwezi cheza kwa kuangalia reaction ya wachezaji, hayo makosa wachezaji huyatumia sana kule ulaya
 
Bado dk chache mpira umalizike, ili wenye kufa wafe zaidi. Kocha wa Simba amemuita Okwi anamwambia pitia kwa Yondani maana ana kadi ya njano mtafutie kadi ya pili atoke nje naye.
 
huyu refa naye vipi, hiyo kadi nyekundu kwa niyonzima siyo kabisa, mtu yuko kwenye motion kabisa!!!
Unprofessional conduct, kafanya Niyonzima, kadi ni haki yake, kwanza amewalinda sana!
 
Back
Top Bottom