Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilipata kizunguzungu kufuatilia pasi 28 bila kupoteza hadi mwamuzi akamaliza mpira. Kwa kweli nimefurahi kwani mpenzi hatongozwi unashika mkono tu basi. Tumezoea viwili mpaka 6 lakini kimoja pia kina utamu wake. Nasikia wamekata rufaa tumemchezesha Ajibu.
Wazir alisha sema 'wapigwe tu'
Jaman tuache utan, hv bao LA okwi lingekuwa la kitandan kweli demu angemwacha kweli? Si kila siku angekuwa anamwambia bebi Leo tena basi
Jaman tuache utan, hv bao LA okwi lingekuwa la kitandan kweli demu angemwacha kweli? Si kila siku angekuwa anamwambia bebi Leo tena basi
Kuna waliomba ban, mods tafathari tekereza
Tff inajua kabisa mach8 ni ckukuu yetu wanayanga halafu wanatupangia mechi leo jeny muro mwnsheria wa prson tutetee
Kuna tija ya kuwapa moyo na kuwaweka katika hali ya kisaikologia Mashabiki MBUMBUMBU wa simba...! hatutaki kuona watu wakianza kuzimia uwanjani...!
Maana mashabiki mbumbumbu hawachelewi kuzumia wanapokutana na YANGA FC.
Hapana, haifanyi lolote kati ya hayo, ila inamfukuzisha kocha wa Yanga na BarthezNaomba kuuliza hivi simba kwa kuifunga yanga inaweza kubeba kombe la ligi au inagombania nafasi ya tatu?