Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,782
- 3,199
refa lazima akarudishe pesa alochukua,au la ataenda kuliwa nyamaWazee wa mbeleko wamshukuru refa kwa kuwazadia goli la mkono
Nilisema humu bila Sanya kuwabeba yanga hawawezi kushinda.Hayo ndiyo matokeo.Yanga ndio timu mbovu kabisa hapa TZ. Haiwezekani kila mechi Yanga wabwebwe tu.
Mkuu kesho tuna game bhana hatutaki kukukumbuka tena bhana. Ila kichuya katupa raha.kumalamamakeeeeeeeeeeeeeeeeeee refaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mbebanaaaaaaaaaaaaa mmeachiiiaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Wazee wa mbeleko wamshukuru refa kwa kuwazadia goli la mkono
sikusomi MshanaRangi za laana
ndio maana Uhuru wameweka zegeHii tabia ya kuharibu viti sio kitu kizuri au sisi watanzania tumezoea majukwaa ka ya ccm kirumba..
Referee na wasaidizi wake nao wamekuwa pumba sana...
Lakini ndo mpira ...kikubwa tujifunze kutunza vyetu
Tushavunja rekod y david beckam
Kijani na njano [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]sikusomi Mshana
Tuna shida sanandio maana Uhuru wameweka zege