barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Yes nambie [emoji1] [emoji1]Honey Kichuyaaaaaaa......
kweli kabisayameisha mkuu
Ulikuwa umejificha wapi mkuu, maana niliposikia yanga wanaongoza kwa goli moja na mkude katolewa kwa kadi nyekundu nikaacha kufuatilia, ila hawa ndala wana bahati sana leo refa alikula kwao vinginevyokumalamamakeeeeeeeeeeeeeeeeeee refaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mbebanaaaaaaaaaaaaa mmeachiiiaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
KabisaaaTushavunja rekod y david beckam
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]********** END OF UPDATE************
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umeniacha hoi aiseKuna shabiki mmoja wa Yeboyebo alizidi kelele nikajikuta ghafla nimempa ndochi moja ya uso ila tumeyamaliza baada ya kumpa bia moja
Mtani vipi kwema? Hongereni mmefuta utejaHawa waamuzi wa Leo ni full kituko
Bado upo tuuu, admin nadhani umemsahau huyu jamaaYanga akishinda mnipige Ban ya maisha.
Ndio hivo Mkuu unakuta time imefungwa goli la mkono kapteni katolewa MTU anakupigia mayowe ngumi inaruka yenyewe tuu maana hakuna namnaHa ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umeniacha hoi aise
Kwema mtani. Sijakuona katika updates Leo au ulikuwa uwanjani??Mtani vipi kwema? Hongereni mmefuta uteja
Hili ni pandikizi letu ndani ya yanga umesahau ulipoongoza 3-0 tukasawazisha zote golini akiwepo bartezBartez sio kipa yule boksi tu lile bora hata angedaka kakolanya
Bartez sio kipa yule boksi tu lile bora hata angedaka kakolanya
Kwani yanga wameshinda hadi admin wamshughulikie??Bado upo tuuu, admin nadhani umemsahau huyu jamaa
Ulikuwa umejificha wapi mkuu, maana niliposikia yanga wanaongoza kwa goli moja na mkude katolewa kwa kadi nyekundu nikaacha kufuatilia, ila hawa ndala wana bahati sana leo refa alikula kwao vinginevyo
Mi nilivyoona tu figisu la refa nikaacha hata kufuatilia mpira maana nahisi ningevunja mtu kiunoNdio hivo Mkuu unakuta time imefungwa goli la mkono kapteni katolewa MTU anakupigia mayowe ngumi inaruka yenyewe tuu maana hakuna namna