Ligi Kuu Bara: Yanga vs Simba - Uwanja wa Taifa (1-1)

Ngoja nijichimbie maeneo na mchepuko wangu ...nikifungwa tuu na mm nampiga bado za kutoshaaaaaaaaaaa
 
Jana nmeota ndoto MBAYA sana kipind cha kwanza MNYAMA kaongoza 3-1,et kipind cha pili KANDAMBILI kashinda 5-3 ghafla nikastuka kutoka ucngzn.
 
Simba Taifa kubwa.Leo atajulikana wakimataifa.
 
Simba wanaweza kushinda kama wakitulia,maana Dam changa zinachemka,ila Yanga inaweza kuwafunga Simba kwa Uzoefu

Lazima tukubali kwamba Yanga ni mahiri sana kubadilisha Mchezo wanapoona hali tata,ila Simba inakuwa ngum sana kubadilika.Hii ndio naiona hapa inaweza kuwa Credit kwa Yanga.

Mie leo humu ni Refa:Maana ni shabiki wa AZAM DAMUUUU
 
Huu mfumo wa electronic pumba sana, yaani hadi nimetaka kuumia hapa getini! watupishe tuingie tuwahi nafasi
 
Azam ile timu inayofungwa na wala mihogo na mbaazi , Ndanda ?
 
MI Ni Mshabiki wa AZAM. Mechi hii itakua poa kama itakua DROO...
 
Naomba link ya azam two au one cjui inayoonesha mechi ya simba na yanga online. Asanteni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…