Ligi Kuu Bara : Young Africans SC vs Mwadui FC

SIPATI PICHA:

MECHI IJAYO

NGOMA USO KWA USO NA MWANJALI (Mtoa Maboko)

CHIRWA USO KWA USO NA BOKUNGU (Bujebuje)

TAMBWE USO KWA USO NA BANDA (Uchochoro)

MSUVA USO KWA USO NA ZIMBWE JR (Mtoto wa Jangwani)


sipati picha kabisa! nitabaki nacheka huku nikiimba eehh Mungu wahurumie ziwe chache.
 
mechi ijayo ya yanga sc anacheza na nani....sina ratiba wakuu!

Wakikujibu nishtue mkuu. [emoji39]

Yanga anacheza na Stand United jijini Dar

Simba anacheza na Majimaji huko Songea.

Kwa ratiba za mwanzo ilikuwa Yanga acheze Tarehe 1 Feb 2017 na Simba tarehe 2 Feb 2017.

Ila kwa mabadiliko ambayo siyo confirmed ni kuwa Simba ataanza tarehe 4 siku ya Jumamosi na Yanga atakipiga tarehe 5 Siku ya Jumapili

CC: Nifah
 
Nyenyere,
Updates zimeishia dakika ya 57", kuwa na moyo kama OKW BOBAN SUNZU ni muhimu ukianzisha uzi unamaliza updates zote mpaka dakika ya mwisho 90" + 5"
 
Shukraan mkuu.
 
Asante mkuu
 
Nami naomba Masuke asisumbuliwe
Hahahaaaa
Na kweli sijasumbuliwa, ila Mimi naona pamoja na kutuzidi pointi moja ila kwa kutumia jicho la tatu tumewazidi pointi mbili.

By the way tumepotezana sana. Kwema?
 
Na kweli sijasumbuliwa, ila Mimi naona pamoja na kutuzidi pointi moja ila kwa kutumia jicho la tatu tumewazidi pointi mbili.

By the way tumepotezana sana. Kwema?
Hizo ni imani za mgonjwa mahututi kupata nafuu...endelea kujifariji.

Kwema mkuu.
 
Hizo ni imani za mgonjwa mahututi kupata nafuu...endelea kujifariji.

Kwema mkuu.
Tutawafunga, halafu mtatoa draw na Azam. Logically ni kama pointi NNE na sio mbili tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…