DAKIKA 2 ZA NYONGEZA
Dk 45, Yondani analazimika kupiga kichwa akiokoa krosi ya Kabunda. Kona ya pili kwa Mwadui, Kona ya Seseme, Dida anadaka kwa ulaini
Dk 44 sasa, Mwadui wanaendelea kugongeana vizuri lakini katikati ya uwanja
Dk 42, Dida anatoka nje na kuutoa mpira, inakuwa konaa ya kwanza ya Mwadui FC
Dk 41, Malika tena anaokoa mpira na kuwa kona. Inachongwa, Kamusoko anaunganisha shuti kali lakini goal kick
Dk 40, Malika anafanya kazi ya ziada kuokoa krosi ya Msuva, inazaa kona hapa. Yanga wanaichonga lakini haina faida