Ligi Kuu Bara : Young Africans SC vs Mwadui FC

Dk 57 Msuva anaingia vizuri tena, anaachia shuti kali hapa, goal kick

DK 56, krosi safi ya Msuva, Cholo anatokea na kuokoa hapa

Dk 54 Mwadui wanashambulia hapa lakini wanaamua kurudi nyuma huku Yanga wakiwa wachache mbele, mashabiki wanazomea hapa
 
Yaani vijana wetu leo wanacheza utafikiri tayari tupo top of the table
 
SUB Dk 63 Yanga wanamtoa Haruna na nafasi yake inachukuliwa na Chirwa

Dk 62, Yanga wanalisakama lango la MWadui, shuti kali la Kamusoko, wanaokoa Mwadui haoa
 
Tambwe, Msuva na Zullu tusiposhinda leo hawa ndio wakulaumiwa. Sisi kama Mashabiki tumeplay part yetu na tumetoa support ya kutosha
 
Dk 68, Msuvaa anaachia kombora hapa lakini juuuuu

Dk 67, mpira wa adhabu wa Juma Abdul ndani ya eneo la hatari la Mwadui lakini Kadoanafanya kazi ya ziada

KADI Dk 67, mara baada ya kuanguka, Chollo analambwa kadi ya njano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…