Sasa unamwambia kitu au unamuuliza kitu?Kwann unaipenda yanga?
Hahahaha! Mimi ni bonge la yangaNawezaje kudanganya Mkuu?
Kama wewe Yanga mwenzangu karibu wine [emoji39]
Ndio tumesharudi kileleni
Cheers [emoji485]
Hapo uliposema kileleni nimepata mfadhaiko...Nawezaje kudanganya Mkuu?
Kama wewe Yanga mwenzangu karibu wine [emoji39]
Ndio tumesharudi kileleni
Cheers [emoji485]
Ungeniona nilivyoshika shavu ungetoa chozi la huruma.Dah bora, Asante Chirwa umetuokoa baba. Weekend ingeisha vibaya hii. Tungewapa mikia la kuongea. Bora waendelee kukaa mafichoni hakuna namna.
Yanga daima mbele, nyuma mwiko kama mkia.
Mbona kawaida tu hakuna cha ajabu hapo
Kwann unaipenda yanga?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Asante Mkuu.Sasa unamwambia kitu au unamuuliza kitu?
Karibu Robertson [emoji485]Hahahaha! Mimi ni bonge la yanga
Kaka si vyema kudakia manenoSasa unamwambia kitu au unamuuliza kitu?