BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Ligi kuu ya NBC Tanzania bara inaendelea tena leo Agosti 17, 2022 kwa mechi 4.
Simba SC watakuwa na nafasi ya kujiuliza kufuatia kipigo cha Ngao ya jamii wakichuana na Geita Gold katika dimba la Benjamin Mkapa majira ya saa 12:15 jioni.
Wagosi wa Kaya, Coastal Union watakuwa wenyeji wa vijana wa Kinondoni, KMC FC katika dimba la Sheikh Amri Abeid Arusha majira ya saa 10:00 jioni.
Majira ya saa 10:00 jioni Mbeya City wakuwa wageni wa Dododa Jiji katika dimba la CCM Liti Singida.
Mchezo wa mwisho leo utawakutanisha Wanalambalamba, Azam FC dhidi ya Wanankurukumbi, Kagera Sugar katika dimba la Azam Complex, Chamazi majira ya saa 2:15 usiku.
#KitengeSports
Simba SC watakuwa na nafasi ya kujiuliza kufuatia kipigo cha Ngao ya jamii wakichuana na Geita Gold katika dimba la Benjamin Mkapa majira ya saa 12:15 jioni.
Wagosi wa Kaya, Coastal Union watakuwa wenyeji wa vijana wa Kinondoni, KMC FC katika dimba la Sheikh Amri Abeid Arusha majira ya saa 10:00 jioni.
Majira ya saa 10:00 jioni Mbeya City wakuwa wageni wa Dododa Jiji katika dimba la CCM Liti Singida.
Mchezo wa mwisho leo utawakutanisha Wanalambalamba, Azam FC dhidi ya Wanankurukumbi, Kagera Sugar katika dimba la Azam Complex, Chamazi majira ya saa 2:15 usiku.
#KitengeSports