Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HeheheheehMbona povu Simba wa pori la msimbazi mshapigwa moja tayari
HahahahaNaona Mbao Fc wamevamia msitu na chainsaw leo leo miti ni kuangushwa chini manake hakuna mti mgumu mbele ya Chainsaw
Simba mashoga tu hawa wapumbavu sanagoal mbili bila
Wamezoea kuhonga hao, bila kutembeza Mpesa hawashindi nyambaf zao, dakika ya 90 utasikia mchezaji wa mbao Fc mwenye kadi 3 za njano anaingia then mikia wanazawadia point 3 za mezani tena! Nyambaf kabisa!
Hahahahaaaaa pole sana rafiki yangu.Hasira za upuuzi aliongea Roma + Simba akifungwa leo = Kesho naamkia ICU