Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Unajipa moyo tu,msimu uliopita mlitangulia kwa point 12,lkn mwisho wa msimu mkakimbilia fifa,hili gari la Yanga ndio lishawakaMtani leo akishinda itakua safi kwetu Simba, maana Azam anatufukuza kwa kasii
Yaan simba hawakueleweka wawe upande upi ila navojua wako azam hawa madera fcHivi uwanjani Simba wanawashangilia nani?
Wabovu tu hao wamewakomesha je wakiingia wazima itakuwaje goli la gadiel kama la rooney hapa taifaAzam fc kiboko ya wabovu wote Yanga na Simba...piga ndala hao
Mikia fc wepesi wa kusahau, na gari moshi huwa likiwaka hakuna wa kulizimaUnajipa moyo tu,msimu uliopita mlitangulia kwa point 12,lkn mwisho wa msimu mkakimbilia fifa,hili gari la Yanga ndio lishawaka
Toa sasa usikimbieNaweka 900 Azam anashinda
Andaa cheque..
Eti kuipendeza wakati ananyakua ubingwa subiriDah! Yanga inafanya vitu vya kuipendeza Simba[emoji16]
Hujawahi ingia uwanjani kukutana na haya manenoAcha ujinga, huwezi waita mbwa binadamu
Mke simba jike koko wew anaeusaka ubingwa miaka mitano sasaYanga wanahakikisha wanampigania MME wao Mnyama, ndio uzuri wa mke bora huu.
Hahaaa. Waambie hao SwahibaUnajipa moyo tu,msimu uliopita mlitangulia kwa point 12,lkn mwisho wa msimu mkakimbilia fifa,hili gari la Yanga ndio lishawaka
Tena kama limekata breki mlima wa sarandaMikia fc wepesi wa kusahau, na gari moshi huwa likiwaka hakuna wa kulizima
Naona Mikia wanajifariji tu hapa.Mikia fc wepesi wa kusahau, na gari moshi huwa likiwaka hakuna wa kulizima
Soon wanaanza kudondosha point hawa mikiaHahaaa. Waambie hao Swahiba
Wasubiri round ya pili huu ndio mwanzo.Soon wanaanza kudondosha point hawa mikia
Itakuwa.Hujawahi ingia uwanjani kukutana na haya maneno
Lile goli la gadiel maiko Unaweza Kwenda nalo bodi ya mikopo na ukasamehewa mkopo kabisaaaaSEMENI SASA
Tofali lile sio la kitoto fuata uchomoke mbavuWabovu tu hao wamewakomesha je wakiingia wazima itakuwaje goli la gadiel kama la rooney hapa taifa