Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
π π π π πKWahiyo Yanga tunatumia injini sio...!?
Pumbavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π π π π πKWahiyo Yanga tunatumia injini sio...!?
Pumbavu
huyo refa mpuuzi kipindi cha pili chote alikuwa anafanya shughuli moja tu...kuwatoa Kagera mchezoni..Refa alikuwa haamini kama timu yao pendwa ilikuwa imekubali kichapo ndani ya dk 90!
Leo utapika pilau Swaiba maana sio kwa shangwe Hilo la msiba wa jiraniNa bado. [emoji126][emoji126]
ππππ hata kaitaba mlisema ivyo kisa uwanja ni kapetiMwanza na Allieance tunawapiga za kutosha kutoa hasira
Ila Hawa Kagera wametuzoea Sana
Simba anakuja kupindua matokeo kama ajax
Na kweli Mkuu maana mpaka Mexime anawashangaa sababu ni ajabu uongeze dkk 5 halafu ifike mpaka 7.Refa alikuwa haamini kama timu yao pendwa ilikuwa imekubali kichapo ndani ya dk 90!
SawaNetwork ya mpesa na mitandao mingine ilizimwa hapa Bukoba,Asante Tcra kwa ushirikiano
Na mwaka jana si ndio hawa hawa waliwakalisha mbele ya Jiwe? πMwanza na Allieance tunawapiga za kutosha kutoa hasira
Ila Hawa Kagera wametuzoea Sana
Wachezaji walishazoea kucheza saa 8 mchana ratiba ikabadilishwa ghafla[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hata kaitaba mlisema ivyo kisa uwanja ni kapeti
Ewaaaaaaa.Wabonaki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani Mungu aingie uwanjani? Acheni kumkufuru Mungu.
Zilikuwa wanazipoteza Sana wachezaji wa KageraNa kweli Mkuu maana mpaka Mexime anawashangaa sababu ni ajabu uongeze dkk 5 halafu ifike mpaka 7.
Siku ya kufa ni ya kufa tu Swahiba.Hi mechi Bora ingechezwa saa 8 mchana
Vya kupindua vipo vingi Tutapindua tutaongoza ligi na kuchukua kikombelabda apindue kivuko cha posta
wololololololo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375]Kwani huo mpira haujaisha tu wajameni? Wengine tumeshikilia shampeni [emoji898] hapa tunataka tuanze sikukuu mapema. [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani. Acha tu Swahiba.Leo utapika pilau Swaiba maana sio kwa shangwe Hilo la msiba wa jirani
Yanga akiwa kileleni mwa ligi hivi Sasahuyo refa mpuuzi kipindi cha pili chote alikuwa anafanya shughuli moja tu...kuwatoa Kagera mchezoni..
Bila shaka yeye muamala ulifanikiwa
Kunguru akimnyea binadamu haimaanishi kua kunguru anashabaaSiku ya kufa ni ya kufa tu Swahiba.