mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Goal la kwanzaaa kwa wawa ndani ya simbaWawaaaaaaaaaaaaaaa chapa shuti kali kam roketi
King Ngwaba Scars nani katupia la pili?
Kaka mkuu WawaKing Ngwaba Scars nani katupia la pili?
Simba imetimia kwakweli.mpaka beki wa kati msimu huu anatafuta ufungaji bora.Pascal Wawa
Sergio pascal wawaKing Ngwaba Scars nani katupia la pili?
Kagere ndio amemaliza mwendo kama straika kwakweliSasa nimeshapata majibu Kwanini Kagere anaekwa Benchi na kuchezeshwa John Bocco.
Kagere sasa kafanya manini
Huu mchezo kwa timu kama simba hua hauendeshwi kwa kufata itifaki, usishangae hadi manula kapiga hatrickSimba imetimia kwakweli.mpaka beki wa kati msimu huu anatafuta ufungaji bora.
Hivi wanayanga wapo kwenye hii nchi,ama wamehama,maana siwaoni?
Huu mchezo kwa timu kama simba hua hauendeshwi kwa kufata itifaki, usishangae hadi manula kapiga hatrickSimba imetimia kwakweli.mpaka beki wa kati msimu huu anatafuta ufungaji bora.
Hivi wanayanga wapo kwenye hii nchi,ama wamehama,maana siwaoni?
Vinanesa nesa huko MorogoroMbona sijaona Chura kikikatisha kwenye huu Uzi?
Kakosa goli kibaoKagere ndio amemaliza mwendo kama straika kwakweli
Pascal wawaKing Ngwaba Scars nani katupia la pili?