Ligi Kuu Tanzania Bara: Simba vs Gwambina, Simba wapata ushindi wa magoli 3 - 0

Ligi Kuu Tanzania Bara: Simba vs Gwambina, Simba wapata ushindi wa magoli 3 - 0

Plan ya kulinda imewaokoa. Yanga walifunguka wakala nne
Ata Simba msimu uliopita kitendo cha kujaribu kucheza na Yanga uku akifunguka aliambulia point moja Kati ya sita. Sasa ajaribu tena kufunuka tarehe 18 ndio siku kishingo atakayo fungasha virago.
 
Ata Simba msimu uliopita kitendo cha kujaribu kucheza na Yanga uku akifunguka aliambulia point moja Kati ya sita. Sasa ajaribu tena kufunuka tarehe 18 ndio siku kishingo atakayo fungasha virago.
Yule mjuba mliye mbeba juu juu siku mnayo mtambulisha, mjiandae kumbeba tena baada ya gemu kuisha hiyo tarehe 18 maana kuna dalili zote za mtu kuzimia
 
Hakuna wa kumzuia Yanga kuchukua ubingwa wa 28 msimu uu.Tarehe 18 mbumbumbu fc wanakwenda kutambua vile vilabu ni vya kustaafu soka.
 
Back
Top Bottom