Ligi Kuu Tanzania, Bara: Singida United 0 - 0 Yanga SC

Utaumia sana subiri muda mbona nyie mwaka jana mlikuwa na viporo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda wewe huna akili,kesho vipolo vinaanza kuliwa stay tuned
 
Mtajitokeza tuu... kauli hii inatokea NAMFUA STADIUM
 
usiseme watanzania sema yanga hawana akili wao ndio walipewa kucheza mechi mfululizo uwanja wa nyumbani wakaona sawa ila sasa wanataka wabebwe Simba nao watakuja kucheza mfululizo tulieni watakaoshindana ubingwa ni simba na Azam nyie ni wasindikizaji tu
 
Azam kadraw na kiAlliance VP hapo home ground ...wanapigana mpaka red card
 
Mikia wiki hii wangecheza mechi mbili WHY
 
Kocha huyu ashauriwe kuwa kaja TZ Kutoka Kongo kufundisha Soka ,Aachane na vyombo vya Habari vitamharibia kazi yake muda si mrefu.Muda wote vimempamba..sasa asubiri vitaanza kumponda..!Wana Yanga msaidieni hauwezi kuwa kocha hapohapo mtawala na pia msemaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…