Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL) | Mzunguko wa 8: Young Africans SC Vs Simba SC, Washindwa kutambiana. 28 Oktoba 2017

Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL) | Mzunguko wa 8: Young Africans SC Vs Simba SC, Washindwa kutambiana. 28 Oktoba 2017

FB_20171027_13_38_34_Saved_Picture.jpg
 
Kutoka uwanja wa huru, hayo ndiyo matokeo!! Hakuna namna.
 
Tupia hapa yanayojiri uwanja wa Uhuru mechi ya watani wa jadi, SIMBA VS YANGA
 
Wachezaji wa Team zote mbili wameshaingia uwanjani..muda wowote game inaanza
 
Mpaka sasa simba anaonekana bora maana ashafika langoni kwa yanga mara 3 mavugo anakosa utulivu
 
Back
Top Bottom