Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL) | Mzunguko wa 8: Young Africans SC Vs Simba SC, Washindwa kutambiana. 28 Oktoba 2017

Ahahhahah nakaaje mbali mnyama anachezea mzima lakini kuna mtu nilimfananisha na wewe avatar yake imefanana na yako nilihisi umechange id

Noo, Usiponiona kwa ID hii ujue Kolomije moja hiyo, minara haisomi.
Sina another ID Shunie.
 
dakika ni ya 22 simba wanakosa nafasi hapa kupitia Okwi anapiga kichwa mpira unaenda nje
 
Dakika ya 23 hapa yanga wanafanya shambulizi moja zuri lakini shuti la Papy kabamba Tshishimbi linakwenda nje..namna gani pale....
 
Dakika ya 26 Simba wanaokoa shambulizi la Yanga..wanashambulia hadi golini lakini wanakosa hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…