Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Labda mchonge lenuSare inatosha, Yanga inapigwa vita na pande nyingi lakini lazima tunyanyue kwapa msimu huu.
Subira huvuta heri.
Zahera analia kucheza dar mechi nyingi mzunguko wa kwanza,kwamba ratiba inambana round ya 2.
Sisi tunasema endeleeni kuangusha point.
hao al ahly wanawajua yanga 2014 chupu chupu kama si utoto wa Bahanuzi walikuwa wanafungasha virago tena kwao.
yanga ndo mkombozi pekee aliye baki
points9
kwa mchina bado zipo jamani mechi za Dar es salaam tulishamaliza
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi kuhusu bao la Yanga lililokataliwa mbona husemi?
Yanga inategemea hiriziVijana walichoka baada ya mechi ya alhamisi na biashara mechi iliyochezwa mpaka extra time halafu wakasafiri tanga ratiba imebana sana kwa Yanga wakati simba anapewa wiki mbli au moja kupumzika . Michael wambura kwenye mahojiano na tbc nimemwelewa sana
Ahahaha lile limekataliwa au ilikua offside, au hata magoli ya off side ndo mabao yenu Yanga?Vipi kuhusu bao la Yanga lililokataliwa mbona husemi?
Lilikuwa bao halali Mkuu ila ndio hivyo tena marefa wetu.Ahahaha lile limekataliwa au ilikua offside, au hata magoli ya off side ndo mabao yenu Yanga?
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha wadondoshe point tuwakuteAshachungulia kaona kuna hatari ya kufikiwa na mnyama..Kwahivyo anaandaa mazingira hata akiboronga iwe hicho ndo kigezo..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Lile ambalo Makambo alikuwa peke yake, refa aliona aibu kuruhusuVipi kuhusu bao la Yanga lililokataliwa mbona husemi?
Kumbuka ile sio ligi kuu ya bongo, ni mashindano ya kutafuta klabu bingwa ya Afrika.Fisi Fc wamekula hamsa kule misiri nadhani watavunja rekodi ya kuwa timu yenye kapu la magoli kwenyew CA F champions league hapa TZ Manaraaaaaaaaaaa hoyeeeeeeee !
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna Mwarabu amepigwa 8-0 na Tp Mazembe mkuu.Fisi Fc wamekula hamsa kule misiri nadhani watavunja rekodi ya kuwa timu yenye kapu la magoli kwenyew CA F champions league hapa TZ Manaraaaaaaaaaaa hoyeeeeeeee !
Sent using Jamii Forums mobile app
SIO MBAYAVijana walichoka baada ya mechi ya alhamisi na biashara mechi iliyochezwa mpaka extra time halafu wakasafiri tanga ratiba imebana sana kwa Yanga wakati simba anapewa wiki mbli au moja kupumzika . Michael wambura kwenye mahojiano na tbc nimemwelewa sana
sio kweli mkuu. Mimi naamini katika technique za mwalimu na mazoezi . Ingekuwa hivyo Nigeria ingebeba kombe la dunia au Gambia au timu yoyote ya afrika na Italy au Germany au England au France au Spain wasingefanikiwa World CupYanga inategemea hirizi