Ligi Kuu Tanzania Bara, YOUNG AFRICANS Vs KMC machi 10, 2019 kutoka B.W Mkapa Stadium

Kocha wa KMC mwangali kwa umakini mchezaji wako Beki Ali Ali.
Mechi ya kwanza ndiye aliyesababisha goli dakika ya 90, kwa kumfanyia faulo ya makusudi, Makambo karibu ya 18. Feitoto akafunga goli.
Mechi ya pili anafunga goli yeye mwenyewe kuwasaidia Yanga fc goli moja.
Angeacha ile krosi ingetoka na kuwa Goal Kik.
Mpeleke hata kwa mkopo Ali Ali Yanga fc.
Ndio timu yake pendwa.
La sivyo atakughalimu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: Tui
Wakimataifa kama kawaida yetu.. Tunangojea MTU aanze kutangulia tu, hapo anakuwa ameshajikatia ticket ya kufungwa
Na Kweli mlifanya hivyo na Simba tarehe 16 Februari sijui mechi iliishaje?
Mliacha watangulie au sio???
 

Inaelekea unateseka sana...pole kwa maumivu Ndugu yangu, pole sana kwa kweli....unaumia sana, jana umeumia, leo pia umeumia halafu bado na vita ambapo inaelekea 'wananchi' watakosa uzalendo na kuwa upande wa vita
 
Mkuu bado upo kmc? Au umerudu timu yako ya zamani baada ya matokeo

Mimi sikumbuki kuwa ninayo timu yangu ya "zamani"...labda tukiwa sekondari nilikuwa nachezea timu ya 'Santos" kama namba kumi...shuleni kwetu tuliunda timu mbalimbali...Ninachoelewa mimi timu ni sawa na kabila...hivi kama mimi ni Mmakonde kwa mfano naweza nikabadili kabila na kujiita 'Myao'??...Halafu eti baadaye nije niseme zamani nilikuwa 'mmakonde'?????!!!
 
Kwa unafiki wa soka unachange tu,mbona taifa mikia wenzio walikuwa kmc
 
Kwa unafiki wa soka unachange tu,mbona taifa mikia wenzio walikuwa kmc

walikuwa wanashangilia tu lakini walibaki kuwa mikia....ila swali lako la awali kwangu kama sijakosea likuwa je nitaendelea kuwa KMC au narudi kwenye timu yangu ya zamani Yanga???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…