Ligi Kuu Vodacom: Leo, 19 Februari 2015

Wacha washuke daraja tu hao 2ajela jela. Wanyakyusa wana jeuri kweli. Bora maji mani yetu imepanda daraja. Watakomaje!
 
haina shida mkuu. maumivu ya yanga kufungwa na mcc yatakuwa makali zaidi ya ile sare ya 3-3 na simba. the day has come siyo mbali

Mtasubiri sana. Mtaendelea kuiona Yanga ikijikita kileleni hivi hivi hadi ubingwa!

Poleni sana mikia, kumbukeni mna mechi ngumu sana huko Shy Town.
 
Wacha washuke daraja tu hao 2ajela jela. Wanyakyusa wana jeuri kweli. Bora maji mani yetu imepanda daraja. Watakomaje!

Ww mzushi mpira hujui Maji mani ndio timu gani?
 
Hivi kwanini mikia kila yanga inapocheza na timu nyingine lazima muiponde yanga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…