Tulikuwa tunahangaika kuuguza nadhani unajua kazi ya kuuguza ilivyo nzito, lakini hata hivyo tulikuwa tunajitahidi, hukumbuki wiki iliyopita tulishinda mbili bila.
jamani jamani, hivi hakuna namna yo yote ya kuwasevu jamani
eti mkoa uliunganisha nguvu waifunge yanga....
eti mkoa uliunganisha nguvu waifunge yanga....
Yanga 2
Nifah na ww yanga?
Kitambo sana uko poa......
Kuwasaidia ni kuitisha uchaguzi mkuu upya na Wambura ashiriki.
huyo bro wako kaingia mitini...kufungwa si mchezo
Huoni kama zina mantiki?Hahahaaa, aisee wewe jamaa kwa sababu ni hatariii
Gooooooooooaal
Ngasaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!
Yeah, mimi Dar Young Africans damu!
I miss you my friend!
kweli tuwaambie vodacom waangalie uwezekano