Ligi Kuu Vodacom: Leo tar 22/2/2015

Ligi Kuu Vodacom: Leo tar 22/2/2015

Kama huipendi Simba basi jitahidi basi japo kumjali na kumhurumia hata kaka yako Katavi.

Masuke si useme tu kweli, nikuhurumie nawewe roho inakuuma na hiyo Simba yako isiyo na dira.
My kaka Katavi hana neno, huwa mnakimbia wote anabaki mwenyewe.
 
Last edited by a moderator:
Masuke si useme tu kweli, nikuhurumie nawewe roho inakuuma na hiyo Simba yako isiyo na dira.
My kaka Katavi hana neno, huwa mnakimbia wote anabaki mwenyewe.
Mimi niko imara na hapa tupo hadi mwisho hata kama mpira uchezwe dakika 180. Huyu golikipa wa stand united kwa leo ndo kikwazo.
 
Last edited by a moderator:
Tunataka mji utulie, Shinyanga matokeo yabaki hivyohivyo au liongezeke moja basi.

Kila la kheri Yanga.

Kila la kheri Stand United.
 
Kwa mwendo huu wa watani zetu mikia jukwaa litakosa msisimko kabisa.
 
Mimi niko imara na hapa tupo hadi mwisho hata kama mpira uchezwe dakika 180. Huyu golikipa wa stand united kwa leo ndo kikwazo.

Pole sana hao ndio Stand, watoto wa Shy town.
Ndiyo raha ya kuwa Yanga full furaha, chezeya Msuva nyie
 
Mbeya mapumziko,Yanga 1-MCC 0,Mbowe na Sugu wameingia muda mfupi uliopita,Sugu kaenda kukaa katikati ya kikundi cha ushangiliaji cha MCC.
 
Hivi wale wachawi UKAWA hawajaenda na timu shinyanga.
 
Back
Top Bottom