Ligi Kuu Vodacom: Simba Vs Mbeya City

Camilo Cienfuegos

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2015
Posts
18,960
Reaction score
67,654
Super Sunday. Ni Mnyama Vs Wagonga nyundo wa Mbeya pale Uwanja wa Taifa, Simba S.C inashuka dimbani kusaka ushindi ili kupanda Kileleni mwa Msimamo baada ya jana Vibonde wawili kutoa suluhu ya 2-2.

Simba itaongozwa na straika wake hatari Kiiza Diego Huku Mbeya City ikiwa na mafundi kama Haruna Moshi Boban, Juma Kaseja na Ramadhani Chombo Redondo.

Tukutane hapa kwanzia saa 10:00 jioni kujuzana yanayojiri...

=============================================
Full Time
Simba 2-0 Mbeya City
 

Kwa Hali Ya Hewa Ya Mvua Ya Leo Simba Sports Club TUSIPOSHINDA Mechi Naachana Rasmi Na CCM Yangu Na Nahamia SAU.
 
Simba uwezo wa kuwafunga Mbeya city upo
 
mbona hakuna jipya kwa mnyama...!

Tatizo nini, kocha, wachezaji au uongozi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…