Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
- Thread starter
- #21
mpira ni mapumziko sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tutake radhiWamatopeni bado tu hamjafunga?
Mpira unakwama kwenye matope. Wanaongoza kwa offside.Wamatopeni bado tu hamjafunga?
Hahahaha!, kweli mkuu. Nipo Yanga mpaka kufa, lakini Arsenal nimeacha kujipa pressure mpaka Wenger ataporudi kwao.Ukishabikia Arsenal na Simba unaweza kufa ukiwa unatembea!
Tunaongoza 1Mkuu ifungeni kwanza mbeya city ndo niwatake radhi
Nani kakuambia??Ukishabikia Arsenal na Simba unaweza kufa ukiwa unatembea!
washaelekea kiblaMbeya city wanapigwa nyingi Leo wamepoteza uelekeo.