Ligi kuu ya England ilianza kuonyeshwa lini Tanzania na ilionyeshwa na Channel gani

Ligi kuu ya England ilianza kuonyeshwa lini Tanzania na ilionyeshwa na Channel gani

kiupande wangu ilikuwa pia week end.
man utd 6 arsenal 2.
mwaka 2001
safari yangu ya kuipenda manchester united ilianzia hapo.
pengine ile mechi mshindi angelikuwa ni arsenal leo hii ningelikuwa mshabiki wa arsenal.

baadae ilitokezea jamaa fulani alikuwa na dishi nyumbani kwake, nyumba nyingi za jirani zikawa zinapata channel za soka.

mtaa nauhifadhi niliokuwa naishi
Ligi imeanza kuonyeshwa kabla ya Euro 1996 fainali Cheksolovakia na ujerumani .... Hii yako ni chai ...
 
Dk leakey DSTV na jamaa mmoja hivi nimemsahau jina, anaongea sana kuhusu soka.
 
TV mmeanza kuangalia juzi tu..toka kitambo Zenji walikuwa wanaonyesha..mchonga alitunyosha sana

Huyo mzee alikuwa pragmatic. TvZ ilipoanzishwa technology yake ilikuwa aghali mno na walichokuwa wanafanya ni kutangaza program za nje. Taarifa ya habari ilikuwa inaonyesha matukio ya wiki ya nyuma na live coverage ilikuwa limited.

Mnaomlaumu Nyerere kwa kutoruhusu TV nchini mnasahau ukweli huo pamoja na fact kuwa hakukuwa na umeme wa uhakika (ndio maana alikazania kuenezwa kwa matangazo ya radio kwanza). Afrika Kusini na utajiri wao wote television yao ya taifa ilianzishwa 1976, unadhani ni kwa nini?
 
Back
Top Bottom