Ligi Kuu ya NBC ikirejea tegemeeni Mchezaji Mgeni 'aliyeng'ara' Kushuka Kiwango kutokana na Kupigwa 'Pini' ya maana na Mchezaji Mzawa

Pathetic
 
Apostle nini kimetokea 😁 au wamsemea maxmpia au ni sombasomba onana😁😁😁
 
Mliompigia kura huyu popoma mlijidhalilisha sana
 
Genta ana Masters ya SAUT hapo Msimbazi Centre
Aliyekuambia hivyo amekudanganya. Bado upo Tigo na Yule Dada yako wa IPP Media hajambo? Na Yule Mwingine wa Avocado Kawe mwenye Hospitali yake Ndogo inayoanzia na Herufi R nae hajambo?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
 
Mliompigia kura huyu popoma mlijidhalilisha sana
Siku atakayoacha kuwa Bingwa / Mshindi wa hilo Shindano ni pale tu akiwa Amekufa / Amefariki ila akiwa Hai kama hivi hata ashindanishwe na Wewe damn Fool na wale Fools Wenzako unaowaamini na kuwakubali hapa JamiiForums bado atashinda / nitashinda tu.

Huwezi kuwa na Utajiri wa Followers 163+ Great Thinkers hapa JamiiForums nilionao GENTAMYCINE halafu nisiwe Mshindi wa Shindano lolote lile la Majukwaa ( Forums ) hapa Jamvini.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
 
Aliyekuambia hivyo amekudanganya. Bado upo Tigo na Yule Dada yako wa IPP Media hajambo? Na Yule Mwingine wa Avocado Kawe mwenye Hospitali yake Ndogo inayoanzia na Herufi R nae hajambo?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
Kwani Tulipomaliza SAUT si ulikuwa hapo Msimbazi Center kuendelea na Masters yako ya Communication?
 
Kwani Tulipomaliza SAUT si ulikuwa hapo Msimbazi Center kuendelea na Masters yako ya Communication?
Nina Hadhi ya Kusoma Masters SAUT Msimbazi Center wakati hata Darasa la Saba tu sikumaliza? Acha Kuota, Kukariri na Kubahatisha Mkuu sawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…