Ligi Kuu ya Tanzania Bara: Mbao FC yaitandika Simba SC kwa goli 1-0

Labda muwape hela na leo kama ambavyo huwa mnawapa
Kulikuwa na tatizo la TiGo pesa kabla ya mechi kuanza......[emoji2][emoji23][emoji16]

Kama tatizo litakuwa limetatuliwa kipindi hiki cha HT. Huenda MO Cola akakamilisha miamala kwenye simuza qachezaji wa Mbao fC....
 
mudaa wa half time viongozi wa mikia wameingia kwenye vyumba vya mbao fc, jamani mwenye namba za takukuru mwanza naomba anitumie inbox fasta tukawanase, ndani ya dakika 5 watakuwa wamemaliza 'biashara'
mamaye zao wameisha toka, hili game tayari limeisha uzwa, sijui ma-takukuru yanakuwaga wapi?
 
Nipo.. Mpira Dk. 90.. Kwani mara ya mwisho tulivyokuja hapa ililuaje? Walianza kutufunga 2 kipindi cha 2 zikarudi zote. Hawa wetu leo.
Na haya hapa chini ni maneno yako Mtani.

"Baada ya matokeo ya Ndanda.. Tuliomboleza na kujiuliza sana kwa mda wa masaa 48. Ndani ya huo mda tulipata majibu, na leo tunayaleta kwenu mda wa saa 1 kamili usiku katika uwanja wa CCM Kirumba pale tutakapokua tukiwapa somo Mbao FC.

ANGALIZO: Refa atakapoanzisha mpira jitahidi uwe mbele ya TV yako.. maana kuna hatari baada ya dk 20 Mbao wakagoma kuendelea na mpira."


Wakati unaandika hivi hizi dk 90 ulizisahau Mtani ama? . πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
mudaa wa half time viongozi wa mikia wameingia kwenye vyumba vya mbao fc, jamani mwenye namba za takukuru mwanza naomba anitumie inbox fasta tukawanase, ndani ya dakika 5 watakuwa wamemaliza 'biashara'
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…