Ligi Kuu ya Tanzania Bara: Mbao FC yaitandika Simba SC kwa goli 1-0

Leo ilikuwa zamu ya Mende KAGERE kuvaa hirizi....

Ila kagoma tena nasikia...[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaha Simba bana, juzi drop, leo kipigo.

Sema tu haiwezekani kuhama, ngoja nipunguze mapenzi na mnyama.
 
Mimi misimu mitatu ya nyuma kidogo nipate presha mpaka nikaacha kwenda uwanjani , nimerudisha moyo wote naona soon itanicost tena.

Ngoja nijitahidi kuipotezea tena.

Ndo timu zetu hizi, mimi sasa hivi nguvu zangu nimezielekeza Liverpool.

Huku napumzika, ila ligi bado, mechi 38 ni nyingi, tutachukua ubingwa, tuna kikosi kikubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…