Ligi Kuu ya Vodacom: Yanga Afrika vs Azam, 6 Mei 2015

Ha ha hahaaaaa Zamaulid upo wewe, siye tumehama timu wao wamekuwa Yanga. Shida sana huu mji...

Jirani yangu ni simba damu kaja eti ili tusaidiane kuishangilia yanga nkamwambia mie Leo hata cwapend na nataman wafungwe tu. Basi kasepa
 
Last edited by a moderator:

Leo umeonyesha unafiki..soka la Simba na yanga unalifananisha na Many, Madrid...huu Ni upumbavu Wa level ya juu sana...
 
Jirani yangu ni simba damu kaja eti ili tusaidiane kuishangilia yanga nkamwambia mie Leo hata cwapend na nataman wafungwe tu. Basi kasepa

unabahati ni jirani angekuwa mwenye nyumba sasa hivi ungekuwa unawasiliana na dalali wa nyumba!
 
Leo umeonyesha unafiki..soka la Simba na yanga unalifananisha na Many, Madrid...huu Ni upumbavu Wa level ya juu sana...

Wewe ndiyo umeonyesha unafiki YANGA saresare maua na bayern munich wao wamebeba Kombe la 25 na sisi tumebeba kombe la 25 na wote tumechukua kabla ligi haijaisha. Nyie Majizi fc sijui mmebeba kombe gani kwa kumfunga yanga msimu huu
 
Dadangu leo umemfuata Steve Yanga kule Azam alikoenda

Umenikumbusha kitu, unajua pale jangwani kumejaa mashabiki maandazi, leo wakishinda utawaona wakifungwa wanahamia Azam kumfuata ndugu yao Steve Yanga.
 
Umenikumbusha kitu, unajua pale jangwani kumejaa mashabiki maandazi, leo wakishinda utawaona wakifungwa wanahamia Azam kumfuata ndugu yao Steve Yanga.

Na sio mechi hii tuu hadi mechi ya Azam na Mgambo tutaenda kwa Mkopo. Haiwezekani litimu ambalo kila msimu linapigwa faini za ushirikina likatuwakilishe nje ya nchi ni FEDHEHA KUBWA SANA NA AIBU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…