Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Tofauti ni kubwa. Yaani mnawaza itakuwaje kama mkipangwa na Al Ahly? Kwa nini msiwaze namna gani tutaweza kucheza katika makundi ya ligi ya mabingwa! Yanga inapata nafasi mara kwa mara, lakini inawaza mechi moja moja (za Waarabu), Simba inapata nafasi mara chache lakini hizo hizo chache imeshacheza robo fainali, nusu fainali na fainali! Endeleeni kuiwaza Al Ahly, ila pia msisahau kuiwaza Simba!... wenzenu tunawaza itakuwaje kama tukipanga na Al-Ahly tena.