Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Jirani yangu ni simba damu kaja eti ili tusaidiane kuishangilia yanga nkamwambia mie Leo hata cwapend na nataman wafungwe tu. Basi kasepa
Umeona hilo ndilo la muhimu zaidi kuliko kujibu hoja yangu ya kama kweli wewe unaujua vyema utani wa jadi kati ya kuchukua ubingwa na kumfunga pia mtani wako bao 5 na kuchapwa miaka mitano mfululizo na kuchukua kikombe ipii ina raha zaidi?
Ha ha hahahah Shark umenichekesha wewe, kama namuona jirani, alivyorudi kwake mdunchuu ha ha hahahaa. Mbaya zaidi Azam kashinda angalia tu msiuwe ujirani wenu, maana Yanga ni shida ya mji...
Hongereni YANGA kuwa mabingwa wapya....
Hii yanga mbovu hii mechi hawajanunua wamekimbizwaje
Siku zote yeboyebo timu zenye uchumi mkubwa anashindwa kuzinunua anaambulia kichapo. Wasifiche udhaifu wao kwa mechi hii wangekuwa na uwezo mechi ya kwanza wangeifunga Azam.
Siku zote yeboyebo timu zenye uchumi mkubwa anashindwa kuzinunua anaambulia kichapo. Wasifiche udhaifu wao kwa mechi hii wangekuwa na uwezo mechi ya kwanza wangeifunga Azam.
kwa mambo haya tutaendelea kuwa wasindikizaji.Yanga wameuza mechi ati mtani aendelee kubaki hukooo.Mpira sayansi na si rushwa,timu gani la kubebwa na marefa?wapi mnaliweka soka la Tz?Ndiyo maana munafungwa mahali hakuna kuhonga.Hivi bado hujui ni kwanini timu ya taifa wengi hawachaguliwi?mnalipa marefa na timu ndogo kuikamia simba but tutakapo pata nafasi tutalinyanyua soka la tanzania.God bless simba timu ya vipaji.
Ndio maana soka letu haliwezi kuendelea
Hakuna anayependa kufungwa eti anakomoa,hawana uwezo wa kuwafunga azam
Mdogo wangu Danny greeny nadhani unajua kusoma na kuandika utapata takwimu hapo. Ukitaka hata hii miaka minne mfululizo ya kutundikwa bao 5-0, 1-1, 3-3, 3-1, 2-0, 1-0 inapatikana hapo.
Takwimu nyingine tutaziongeza tukikutana tena.
Ndio maana soka letu haliwezi kuendelea