ryan riz
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 423
- 683
Inashangaza sana tena zaidi ya sana kuona timu Za wachezaji wanaokipiga timu zinazoshiriki ligi hizo mbili kuwa na kiwango kibovu mno na kufanya mashindano yasivutie kabsaa.
Hasa athari hii imeonekanika Hasa kwa timu Za Afrika magharibi
Mengine mtaongezea wenyewe
Hasa athari hii imeonekanika Hasa kwa timu Za Afrika magharibi
Mengine mtaongezea wenyewe