Ligi ya Europa: Mbivu na mbichi za fainali kujulikana leo

Shadida Salum

Journalist at JamiiForums
Joined
Sep 11, 2020
Posts
69
Reaction score
105

Michezo miwili ya nusu fainali ya Europa kurindima hii leo majira ya saa 4:00 usiku katika viwanja viwili tofauti ,ambapo Roma itakuwa nyumbani kuialika Manchester United huku Arsenal ikiikaribisha Villarreal

Ili Roma kutinga fainali inatakiwa kushinda goli 4-0

Kwingineko Arsenal inahitaji ushindi wa goli 1-0 ili kutinga fainali
 
Kitu kimoja nna uhakika nacho...... waingereza wanaingiza timu 4 kwenye Fainali za ULAYA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…