Ligi ya Klabu Bingwa Afrika: Simba SC 2 - 1 AS Club Vita | Simba yafuzu kucheza hatua ya mtoano 2019

Joseverest

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2013
Posts
52,812
Reaction score
71,392
Karibuni kwa mpambano huu wa kukata na shoka kati ya Simba vs As Vita Club utakaoanza muda mchache kutoka sasa....

Saa 1:00 usiku (Kwa mkapa)

Timu zote mbili zinahitaji matokeo ya ushindi ili ziweze kusonga mbele kwa hatua ya robo fainali

Msimamo wa kundi hili hadi sasa

1. JS Saoura Point 8
2. Al Ahly Point 7
3. As vita club Point 7
4. Simba point 6



Takwimu za kipindi cha kwanzaView attachment 1047135

Takwimu za Full Time
View attachment 1047191

====

Klabu Bingwa Afrika: Klabu ya As Vita inapata goli la kuongoza dhidi ya Klabu ya #Simba katika mchezo unaochezwa Uwanja wa Taifa jijini Dar‬

‪- Goli limefungwa na Francy Kazadi mnamo dakika ya 13‬

‪- Anayeshinda katika mechi hii anasonga mbele katika hatua inayofuata‬
-----

Klabu Bingwa Afrika: Klabu ya #SimbaSC inasawazisha goli dhidi ya Klabu ya AS Vita kutoka Congo ndani ya dimba la Taifa jijini Dar‬

‪- Simba inapata goli la kusawazisha kupitia kwa Mohamed Hussein katika dakika ya 36‬

‪Simba SC 1 - 1 AS Vita‬
------

‪Klabu ya Simba SC kutoka Tanzania inapata goli la pili dhidi ya AS Vita kutoka Congo‬

‪- Goli linafungwa na Clatous Chama maarufu ‘Triple C’ katika dakika ya 90‬

‪- Ikumbukwe anayeshinda anafuzu hatua inayofuata‬

‪Simba SC 2 - 1 AS Vita‬

Msimamo wa kundi D

Al Ahly Points 10
Simba Points 9
Saoura Points 8
As vita club points 7



Al Ahly na Simba zinaenda robo fainali ya ligi ya mabingwa Africa 2019


Timu zilizofuzu hatua ya Robo fainali ni hizi hapa

Esperance Tunis ( TUNISIA)

Constantine ( ALGERIA)

Mazembe TP (CONGO DRC)

Horoya ( GUINEA)

Wydad Casablanca ( MOROCCO)

Al Ahly ( EGYPT)

Simba ( TANZANIA)

Mamelodi Sundowns ( SOUTH AFRICA)View attachment 1047220
 

Attachments

  • C748D2D7-D0BE-45C2-9DE2-AC1FD92928C4.jpeg
    52.4 KB · Views: 106
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…