Hautafurahi peke yako kaka nimemmiss ndg yangu Shadeeya akuje tufurahi wote
Yuu nasiMungu ibariki Tanzania [emoji1241]
Happiness is a lifestyle
Mchawi huyu , kiherehere tuHuyu kiazi aliyeanzisha huu usi si yanga huyu mchawi kabisa huyu dogo
Hii sub itawagharimu hakika
CC Zero IQ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tunakosa mno ungetakiwa ukute tunalo tayariBado kuna goli moja at least.
majibu mubashara
Najua jirani yangu tutakaa sawa tu