Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,055
- 8,540
Mtani njoo tukusajili kwa mdaIla ulijua kuogopa Mtani umekuwa kama Sanchez magoli jana ananiambia nimeliacha jukwaa kwa muda mpaka mpira wa saa moja uishe.
Nikasema lol. Kweli As Vital si watu wazuri. π π π
Wakwanza kwny kila group anakutana na wapili kweny group lingineDraw ya robo fainali inachezeshwa vipi? Je uwezekano wa timu zilizokuwa kundi moja hatua ya 16 upo?
mwaka huu lazima tunyanyue makwapa mtani hata tupewa bingwa mtetezi esperance de tunisTupinge! Hapo sijui kama hampangwi na wale Costantiene ya Algeria kama sijakosea mbona mtakoma.
Dah! Kiukweli munatia huruma sana
Lazima tupewe mmoja kati ya hawa wydad casablanka, mazembe, Esperance the tunis
Hao ndo saiz yetuLazima tupewe mmoja kati ya hawa wydad casablanka, mazembe, Esperance the tunis
Hahaaa.....!!dah!Ni kweli ...uko sahihi...lakini hiki ni kipindi cha mpito...kwani wewe unadhani itapita miaka mitatu bila kibao kugeuka?? itafika muda Yanga itaifunga Simba....Mwaka 1981 Yanga iliifunga Simba baada ya kugaragazwa kwa karibu miaka mitano kikiwemo kipigo cha goli 6-0 cha mwaka 1977 kilichotokana na Yanga kufukuza wachezaji karibu wote 25 na kuamua kuanza upya...goli la Yanga la 1981 lilifungwa na Juma Mkambi kwa kona ya Amasha...kabla ya hapo Simba nayo ilikuwa na kipindi kigumu kuanzia mwaka 1968 hadi mwaka 1973 pale ilipojikomboa kwa goli la Willy Mwaijibe...Yanga kwa sasa inajijenga upya...haina kikosi kizuri sana...inashinda mechi zake kutokana na wachezaji kupigwa saikolojia na Zahera na nguvu za wanachama na hasa mikoani...Simba ina kikosi kizuri kwa sasa chenye wachezaji karibu wanane wa kigeni kwenye kikosi cha kwanza..Yanga ya Manji nayo ilikuwa hivyo hivyio lakini kwa waelewa ilikuwa ni wazi kuwa Manji akiondoka Yanga itakuwa kwenye kipindi kigumu ..na hicho ndicho kilichotokea..Ila kwa bahati nzuri Yanga haijasambaratika, bado iko vizuri na kuwashangaza wale wote wasioitakia mema klabu hii..kwa hiyo Yanga itakuja na nguvu mpya muda siyo mrefu ujao...
Hakika hawa ndo saizi yetu, lazima tuwe tishio kama ilivyozoeleka kwa al ahaly , raha sana kushinda vita, uku wengine waki lipuliwa
mama unafuraha ww, Jana ulipata usingizi kweli
Mkome kabisa kushabikia timu za nje,harusi si zenu mnaenda na sahani za udongo.Ahsante Mtani. Kuhama timu sisi kina YANGA lialia ni ngumu mno Mtani kama Ngamia kupita kwenye tundu la Sindano. Hivyo nakomaa na Yanga yangu tu mpaka mwisho.
Nauliza tu jana ulipata usingizi kweli Mtani?
Kama ni mganga hata Yanga wangeweza kuchangishana. Niyonzima aliona kuwa ili afanikiwe ni bora aje Simba, namsikitikia dogo Ajib, wenzake wanaenda kufanya majaribio Ulaya na nchi nyingine zilizoendelea kisoka, yeye anakimbilia bwawani. Naamini msimu ujao atarudi Msimbazi.
Hawana uzalendo hao, badala ya kupitisha bakuli kuichangia Yanga, wanalipa kiingilio kuisapoti Vita.Tunawashukuru vyura kwa kutuongezea mapato mngekuwa mnajaa hivi kwenye mechi zenu msingetembeza bakuli
mama unafuraha ww, Jana ulipata usingizi kweli
hahaha umetisha, ukimwona jirani yetu msalimie mwambie "kamwene"Nilifirahi mnoooo....ila nimelala nimeamka alfajiri nkaenda kwa manara kwanza
Namkubali sana jamaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee huenda tukarudi kucheza kule kaskazini mwa AfricaLazima tupewe mmoja kati ya hawa wydad casablanka, mazembe, Esperance the tunis
Hata Wakili Petro Mselewa haonekani humu, sijui kama ameshaamka maana usiku imekuwa mrefu kwake.Kuna kijana wenu anaitwa hazard cfc hapatikani, mtafuteni asije akawa amejidhuru.
Hata Wakili Petro Mselewa haonekani humu, sijui kama ameshaamka maana usiku imekuwa mrefu kwake.
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app