Hahahaa. Pole sana Mtani.
Ndio mpira huo yaani ukawa unawaza namna ya kupotezea Tag zangu. [emoji3][emoji3][emoji3]
Home
Nimeiona Kaka. Ila CAF si watu wazuri hata kidogo, wale namba mbili wote wamepewa Mtihani wa kuanzia makwao.Umesikia wamepangiwa TP MAZEMBE HUKO [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na wanaanzia hapa kwa mkapa
Sent using Jamii Forums mobile app from my iPhone 5s
Hawa makelele fc safari yao imeishia hapo .....kila la kheri mazembeNimeiona Kaka. Ila CAF si watu wazuri hata kidogo wale namba mbili wote wamepewa Mtihani wa kuanzia makwao.
Nawaza tu wale wa moja moja na mbili mbili hapo kwa Mkapa watamfunga ngapi Mazembe.
Hawa makelele fc safari yao imeishia hapo .....kila la kheri mazembe
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole wana yebo yeboHahahaaa. Yaani hawana chao tena.
Njoo huku uone walivyokuwa wadogo na wanavyotoa mapovu
Klabu ya Simba yapangiwa TP Mazembe kwenye robo fainali Ligi ya Mabingwa Africa - JamiiForums
Pole wana mbumbumbu sababu yajayo yanafurahisha
Tumepitia mazuri mengi... Ata tukifeli tushapata raha sanaPole wana mbumbumbu sababu yajayo yanafurahisha
Doooh
Tutawafunga 2 bila.Nimeiona Kaka. Ila CAF si watu wazuri hata kidogo, wale namba mbili wote wamepewa Mtihani wa kuanzia makwao.
Nawaza tu Mikia hapo kwa Mkapa watamfunga ngapi Mazembe.
Kisha Congo?
Hahaha Congo wanatufunga 3 kwa moja...tunaingia zetu nusu final kwa goli la ugenini..Kisha Congo?
Nimekusoma Mtani ila hiyo yahitaji maombi ya ziada.Hahaha Congo wanatufunga 3 kwa moja...tunaingia zetu nusu final kwa goli la ugenini..
Sijui nimesomeka mtani? ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa vitu vingine haviwezekani bila maombi. ..Nimekusoma Mtani ila hiyo yahitaji maombi ya ziada.
NA HII HAMNA CHA KUKUSANYA POINT, UKIPIGWA NJE NDANI MECHI MBILI KWA HERIIIIIIIIINimeiona Kaka. Ila CAF si watu wazuri hata kidogo, wale namba mbili wote wamepewa Mtihani wa kuanzia makwao.
Nawaza tu Mikia hapo kwa Mkapa watamfunga ngapi Mazembe.
Haya sasa jikite kwenye Ibada Mtani wangu angalau mpate wepesi.Ni kweli kabisa vitu vingine haviwezekani bila maombi. ..
Mtani kuna siku Jitihada huzidi uwezo!!!
Sent using Jamii Forums mobile app