Statarea
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 891
- 1,278
Ni timu ya kawaida sana, yani kwa Simba De Songo ni underdogUD SONGO ni moto wa kuotea mbali mabingwa watetez, simba jiandaeni na kichapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni timu ya kawaida sana, yani kwa Simba De Songo ni underdogUD SONGO ni moto wa kuotea mbali mabingwa watetez, simba jiandaeni na kichapo
Township wamecheza mechi ya kirafiki jana wapo South africa na wanataraji kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya Simba unafahamu kwenye mechi yao dhidi ya Kaizer waliwafanya nini jana?KIKOSI KILICHOCHEZA DHIDI YA TOWNSHP ROLLERS MARCH 2018 CHINI YA LWANDAMINA.
Kabwili, Kessy, Dante, Yondani, Ngonyani, Makapu, Tshitshimbi,Buswita, Chirwa, Ajib, Marthin
Kwasasa wamepotea njia kwakweli
Simba day 8/8 ila 9/8 mechi Maputo wasi wasi wangu timu ikienda ugenini wanaenda nchi usiku siku 3 su 4 kabla ya mechi ili wa adopt mazingira ya nchi uhusika.Tareh ngapi mkuu?
Unajua mechi za pre season zinavyokuwa? Au mpira umeanza kuangalia jana mechi ya TownshipTownship wamecheza mechi ya kirafiki jana wapo South africa na wanataraji kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya Simba unafahamu kwenye mechi yao dhidi ya Kaizer waliwafanya nini jana?
Mpira nimeucheza, nimecheza hadi ligi daraja la kwanza!Unajua mechi za pre season zinavyokuwa? Au mpira umeanza kuangalia jana mechi ya Township
[emoji23][emoji23][emoji23] Musonye bwana.Mtani umefanya nikumbuke hii kauli ya yule musonye ambayo kwa asilimia kubwa inawagusa Mtani.
100 Likes , Mtoto halali na hela , Van pebles Shunie mmeadimika watani haya mrudi msimu wa soka umeshawadia.
Labda wataanzia makundi ya whatsappPovu ruksaView attachment 1159664
Ila yule sio mzima Mkuu. Sababu anaonyesha chuki za waziwazi kwa Simba na Yanga.[emoji23][emoji23][emoji23] Musonye bwana.
Aliyekuficha Mungu anamuona Mtani.Msimu ndiyo unaanza sasa, tumalizie kazi tuliyobakiza.
Aliyekuficha Mungu anamuona Mtani.
😂😂😂 Watachakaa tu!UD DE SONGO Masikini ya MUNGU wametumbukizwa kwenye tanuli la moto bila kujijua.