Ligi ya Mabingwa Afrika: Mamelodi Sandowns yang'ara kwa Mkapa, Yaipiga CR Belouizdad goli 5 kwa 1

Ligi ya Mabingwa Afrika: Mamelodi Sandowns yang'ara kwa Mkapa, Yaipiga CR Belouizdad goli 5 kwa 1

Shadida Salum

Journalist at JamiiForums
Joined
Sep 11, 2020
Posts
69
Reaction score
105
20210228_142912.jpg

Michezo miwili ya Klabu bingwa Afrika itapigwa hii leo . Mchezo wa kwanza ni wa kundi B ambao utaikutanisha CR Belouizdad dhidi ya Mamelodi Sundowns katika Dimba la Benjamin Mkapa majira ya saa kumi kwa saa za Afrika Mashariki.

Katika mchezo huo watazamaji hawatoruhusiwa kuingia uwanjani kutokana na ombi kutoka kwa wahusika.

Na mchezo wa pili ni wa kundi C kati ya WAC Casablanca dhidi ya Kaizer chiefs mchezo ambao utapigwa saa moja Usiku.

MATOKEO
FULL-TIME | Benjamin Mkapa Stadium

CR Belouizdad 🇩🇿 1-5 🇿🇦 Mamelodi Sundowns
[Amir Sayoud || Themba Zwane 2X, Peter Shalulile, Lebohang Maboe, Kermit Erasmus] ⚽

Msimamo Kundi B
1. Mamelodi [6]
2. TP Mazembe [2]
3. Al Hilal [1]
4. CR Belouizdada [1]
 
View attachment 1713880

Michezo miwili ya Klabu bingwa Afrika itapigwa hii leo . Mchezo wa kwanza ni wa kundi B ambao utaikutanisha CR Belouizdad dhidi ya Mamelodi Sundowns katika Dimba la Benjamin Mkapa majira ya saa kumi kwa saa za Afrika Mashariki.

Katika mchezo huo watazamaji hawatoruhusiwa kuingia uwanjani kutokana na ombi kutoka kwa wahusika.

Na mchezo wa pili ni wa kundi C kati ya WAC Casablanca dhidi ya Kaizer chiefs mchezo ambao utapigwa saa moja Usiku.
Mechi zote tutaingia kwa juhudi zetu binafsi za kuruka ukuta?
 
Hawa wazulu ni hatari na nusu, mwarabu ulimi nje!!
 
Sas na ss kwa upqnde wa tff na serekaali tungewalazimisha wakubali mashabiki angalao ili tufaid mchezo huo
 
Back
Top Bottom