Ligi ya Mabingwa Afrika nchini eSwatin: Mbabane Swallows 0 - 4 Simba SC

Sujui kama yale maji wamesadifiri nayo. Je wataruhusiwa kuyamwaga kule ugenini?
 
Mkuu nchi hii ina vichaa wengi sana, ukihangaika nao unaweza kuishia kuwehuka, ngoja tukampe shoga yao dose moja matata sana hapo Eswatini.
Possibility ya kuvuka mnayo kubwa. Lakini wekeni akiba ya maneno kidogo.
 
Possibility ya kuvuka mnayo kubwa. Lakini wekeni akiba ya maneno kidogo.
Nashukuru sana kwa kukiri kwako hili mkuu wangu,ubingwa wa TPL nao utakuja kwetu namna hii hii, lije jua inyeshe mvua simba bingwa tena msimu huu.
 
Nashukuru sana kwa kukiri kwako hili mkuu wangu,ubingwa wa TPL nao utakuja kwetu namna hii hii, lije jua inyeshe mvua simba bingwa tena msimu huu.
Huku kwenye TPL sahau.
Bingwa yupo tayari anaenda taratibu. Kila mechi point tatu. Iwe Dar au Mikoani.
 
Naona hakuna umuhimu wa kucheki hii game sababu tushafuzu, ila kwa sababu napenda nione beautiful football acha tu niangalie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…