Ligi ya Mabingwa Afrika: Simba SC 4-1 Mbabane Swallows

Ligi ya Mabingwa Afrika: Simba SC 4-1 Mbabane Swallows

Husuda hiyo. Alimaliza mkataba. Ni mchezaji mzuri.Kataa kubali lakini ndio ukweli.
 
Kaizer Chief 4 Zimamoto 0 dk75
Uzalendo kwanza ushabiki baadae
 
Aisee... Sasa nafuta sala zangu... Mpigwe goli 2... Na iwe FT SIMBA 0 - 2 MBBNE ...

Ewe mungu baba, mueza juu kila kitu, usiyeshindwa jambo lolote mbele yako, baba muumba mbingu na ardhi, na kila vilivyomo kwenye ulimwengu huu...
Nina ombi moja kwako leo baba... Baba naomba ujaalie timu ya simba ifungwe goli mbili tu wala sio yingi baba...
Baba hawa simba wanajikuta wao ni Barcelona ya Tanzania... Kumbe hawana lolote la maana... Timu imejaa wazee waongo wanaodanganya umri wao.. baba jaalia kabisa na wafungwe mechi ya marudiano...
Baba naamini umesikia ombi langu baba... Hakika wewe ni msikivu mwenye kujibu shida za wanyonge...

Aaamiiin

pole Sana
 
Kila neno la laana kwenye hii dua limegeuka na kufanyika baraka. Shukran kwa dua yako.
Aisee... Sasa nafuta sala zangu... Mpigwe goli 2... Na iwe FT SIMBA 0 - 2 MBBNE ...

Ewe mungu baba, mueza juu kila kitu, usiyeshindwa jambo lolote mbele yako, baba muumba mbingu na ardhi, na kila vilivyomo kwenye ulimwengu huu...
Nina ombi moja kwako leo baba... Baba naomba ujaalie timu ya simba ifungwe goli mbili tu wala sio yingi baba...
Baba hawa simba wanajikuta wao ni Barcelona ya Tanzania... Kumbe hawana lolote la maana... Timu imejaa wazee waongo wanaodanganya umri wao.. baba jaalia kabisa na wafungwe mechi ya marudiano...
Baba naamini umesikia ombi langu baba... Hakika wewe ni msikivu mwenye kujibu shida za wanyonge...

Aaamiiin
 
UNAHISI JAMAA ANAMWAMBIA NINI BOCCO KIMOYOMOYOO
Screenshot_20181129-000353.png
 
Leo chama langu Ni yechu yechu, John bocco kapiga dasi ya fuasi , kagere na triple c Ni full ile laana. Japo masnitch wale walikua hata mauzalendo wamedash lakini dingii mnyama ameonesha unyama
Mnyama unyamani siku zote, bado yanga raundi ya pili kwenye TPL, amin nakuambia siku hiyo kuna msiba mkubwa sana utatokea kwa upande wao, Mark my words.
 
Aisee... Sasa nafuta sala zangu... Mpigwe goli 2... Na iwe FT SIMBA 0 - 2 MBBNE ...

Ewe mungu baba, mueza juu kila kitu, usiyeshindwa jambo lolote mbele yako, baba muumba mbingu na ardhi, na kila vilivyomo kwenye ulimwengu huu...
Nina ombi moja kwako leo baba... Baba naomba ujaalie timu ya simba ifungwe goli mbili tu wala sio yingi baba...
Baba hawa simba wanajikuta wao ni Barcelona ya Tanzania... Kumbe hawana lolote la maana... Timu imejaa wazee waongo wanaodanganya umri wao.. baba jaalia kabisa na wafungwe mechi ya marudiano...
Baba naamini umesikia ombi langu baba... Hakika wewe ni msikivu mwenye kujibu shida za wanyonge...

Aaamiiin
Dua mbaya haijawahi fanikiwa hata siku moja, you will end up very dissapointed mwanga mkubwa ww!
 
Huyu jamaa ana zile 4B za soka, ball brain, ball balance, ball control.....jamaa ni football magician hapa bongo, naweza kusema hakuna attacking midfield bora bongo nzima kama huyu jamaa kwa sasa.
Kwann simba wasicheze km mbadala wa taifa stars
 
Back
Top Bottom