OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kafinya moja hapa kipa kapanguaAnaweza sana mkuu..!
Madrid ya KwamtogoleAnaweza sana mkuu..!
Hivi nani alimpa u tanzania one huyu AISHA Manula anafungwa magori ya kisenge senge bora hata Kindoki kuliko huyu fala.
Kwani ngapi ngapi Mkuu
2-1 mkuu
inabidi tuwaongeze hata mawili ila kipa Aisha kwa kweli simwamini kabisaHaya matokeo sio Rafiki mbn
Halafu wanataka tuwe wazalendo, mbumbumbu ni mbumbumbu tuSimba Bwana!! Mashabiki wao sijui wana tatizo gani. Kazi yao kuiwaza Yanga tu badala wadeal na mechi yao. Sasa Game ni Simba na swallows, Inakuwaje waje na Vinyago vya Yanga? Kwanini wasije na vinyago vya Swallows? Ndomaana wanapata pressure kila siku.
hahahahaha mkuu kindoki hafai yule, akikaa golini ni pressure 24/7.Hivi nani alimpa u tanzania one huyu AISHA Manula anafungwa magori ya kisenge senge bora hata Kindoki kuliko huyu fala.